Msemaji mkuu wa Young Africans (Yanga) amemuomba Rais wa Yanga Eng. Hersi Said kwenye kilele cha wiki ya wananchi kuufungua msimu wa 2024/2025 apambane awaletee Mamelodi Sundwns. Akidai kwamba bado hawajamalizana. Nimemuomba Rais wa Yanga @Caamil8 Kwenye Kilele cha Wiki ya Wananchi kuufungua Msimu wa 2024/25 Apambane Atuletee Mamelodi Sundowns Sisi na Wao Bado Hatujamalizana.. — Ali Kamwe (@AliKamwe) April 7, 2024