Mwanamuziki staa mashuhuri kutokea Tanzania leo amepost picha kibao akiwa na mpenzi wake mrembo Paulah Kajala zikionyesha tabasamu zito sana na ni kama wanatarajia kumpata mtoto wao wa kwanza, Marioo katika post yake ameandika, “Is it a boy or girl !?”huku akiweka alama ya emoji inayodhihirisha furaha kubwa aliyo nayo
Nimekuwekea picha hapa uziangalie na wewe mpenzi msomaji wa kurasa zetu.
#repost @marioo_tz @downloader_
__
Is it a boy or a girl !? 😉
A. Girl 💝
B. Boy💙
.
📸 by @bless_dollar 🙌
Follow us for more content like this/
Tufuatilie kwa makala nzuri zaidi kama hizi.
Comments
Post a Comment